Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » , » NE-YO AWASILI RASMI KENYA CHEKI PICHA ALIYOPIGA NA ALIKIBA

NE-YO AWASILI RASMI KENYA CHEKI PICHA ALIYOPIGA NA ALIKIBA

Ne-yo amewasili rasmi nchni Kenya katika msimu mpya wa Coke Studio Afrika ambapo anategemea kufanya Collabo na Msanii kutoka Tanzania (Ally Kiba).


Ne-yo akiwa na Wafanyakazi wa Kenya Airways
Ne-yo akiwa na Wafanyakazi wa Kenya Airways

11849838_821626871285479_255932632_n

Ne-yo akiwa na Ally Kiba pamoja na wasanii wengine akiwemo Maurice Kiriya
Katika Mtandao wa Instagram Coke Studio wameandika “Mwanamuziki maarufu kutoka Amerika @Neyo ajumuika na wasanii wa Coke Studio Africa kutoka Tanzania, Kenya, Uganda, Nigeria na Mozambique. @officialalikiba @wangechikenya @mauricekirya @iceprincezamani @ddobling #CokeStudioAfrica”
Blog inayotoa habari kila siku Karibu Ungana na Mwandishi wetu kila siku hapa Jafar Nzowa

0 maoni:

Chapisha Maoni

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. JAFAR NZOWA JR - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger