Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » AZAM KUJIPIMA KWA KMKM LEO

AZAM KUJIPIMA KWA KMKM LEO

http://static.goal.com/902200/902212_heroa.jpg

Kikosi cha Azam FC leo usiku kitacheza na KMKM kwenye uwanja wa Amaan katika kujipima nguvu kabla ya mchezo wa Ngao ya Hisani utakaopigwa wiki moja kabla ya kuanza kwa ligi kuu ya Vodacom msimu wa 2015/16.
Mechi hiyo itakayoanza saa moja usiku, itaoneshwa live kupitia  Channel 100 ya Azam TV Ratiba kamili ya mechi za kirafiki huko Zanzibar ambazo zote zitaruka live kupitia info channel 100 ya Azam TV niLeo Jumatano tarehe 12/08/15 Azam FC vs KMKM kick off 7:00pm
Blog inayotoa habari kila siku Karibu Ungana na Mwandishi wetu kila siku hapa Jafar Nzowa

0 maoni:

Chapisha Maoni

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. JAFAR NZOWA JR - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger