Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » MUSLIM BROTHERHOOD 6 WAUAWA

MUSLIM BROTHERHOOD 6 WAUAWA

Wafuasi wa muslim Brotherhood 



Watu sita wanaounga mkono kundi la Muslim Brotherhood wameuwawa katika makabiliano na raia mjini Cairo.
Kwa mjibu wa shirika la habari la MENA nchini Misri, makabiliano hayo yamefanyika leo Ijumaa.
Wizara ya usalama wa ndani imesema kuwa walinda usalama waliingilia kati ili kutuliza vurumai hilo na kuwatia mbaroni wanachama 15 wa Muslim Brotherhood.

Chanzo: BBC

Blog inayotoa habari kila siku Karibu Ungana na Mwandishi wetu kila siku hapa Jafar Nzowa

0 maoni:

Chapisha Maoni

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. JAFAR NZOWA JR - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger