Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » NIGERIA YATANGAZA KOCHA MPYA

NIGERIA YATANGAZA KOCHA MPYA






Timu ya Taifa ya Nigeria Super Eagles imempa kibarua cha ukocha kiungo na nahodha wake wa zamani Sunday Oliseh.


Oliseh anachukua nafasi ya Stephen Okechukwu Keshi ambaye alitimuliwa mwanzoni mwa mwezi huu na uongozi wa timu hiyo.


Kocha huyo atasaidiana na mbeligiji Jean Francois Losciuto wakati kikosi hicho kikiwa kinajiandaa kupambana na Tanzania mapema mwezi wa September mwaka huu katika michuano ya kufuzu Kombe la Mataifa Afrika kwa mwaka 2017.

Blog inayotoa habari kila siku Karibu Ungana na Mwandishi wetu kila siku hapa Jafar Nzowa

0 maoni:

Chapisha Maoni

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. JAFAR NZOWA JR - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger