Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » HII NI HABARI NJEMA KWA WANA JANGWANI

HII NI HABARI NJEMA KWA WANA JANGWANI

Kutoka katika ukurasa maarufu wa facebook wa 'Naipenda Yanga' kuna taarifa kuwa, klabu ya Yanga ipo katika hatua za mwisho kumsajili mshambuliaji wa kutegemewa wa Gor Mahia na mfungaji bora wa KPL Michael Olunga
Inaelezwa kuwa makubaliano ya awali baina ya mchezaji na klabu yamefikiwa huku Yusuf Manji akisisitiza lazima Mkenya huyo atue Jangwani baada ya kuvutiwa mno na soka lake.
Ikumbukwe Olunga aliisumbua mno safu ya Ulinzi ya Yanga na kuweza kufunga goli la pili katika ushindi wa 2 - 1 walioupata K'ogallo.
Blog inayotoa habari kila siku Karibu Ungana na Mwandishi wetu kila siku hapa Jafar Nzowa

0 maoni:

Chapisha Maoni

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. JAFAR NZOWA JR - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger