Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » WACHEZAJI KUMI GHALI ZAIDI KATIKA UHAMISHO WA MAJIRA YA JOTO

WACHEZAJI KUMI GHALI ZAIDI KATIKA UHAMISHO WA MAJIRA YA JOTO



Dirisha la usajili wa majira ya joto lilifungwa mwanzoni mwa wiki hii barani Ulaya na kushuhudia baadhi ya wachezaji wenye majina makuwa wakihama kutoka klabu moja kwenda nyingine kwa kiasi tofauti cha ada ya uhamisho.
Kuna nyota wengine waliohamia katika klabu ambazo hakukuwa na matumaini makubwa ya kutua kwenye klabu hizo huku baadhi ya uhamisho ukikwama kabisa mpaka mwisho wa dirisha la usajili.
Ifuatayo ni orodha ya wachezaji kumi(10) ghali zaidi katika uhamisho wa majira ya joto mwaka huu:

Kevin De Bruyne (Wolfsburg kwenda Manchester City, Pauni Mil.54.5)
De Bruyne is now the second most expensive player in Premier League history


Raheem Sterling (Liverpool kwenda Manchester City, Pauni Mil.49)
Manchester City paid 
    div class=

Angel Di Maria (Manchester United kwenda PSG, Pauni Mil.44.3)
Angel Di Maria poses with his PSG jersey during his official presentation in Paris
 

Anthony Martial (Monaco kwenda Manchester United, Pauni Mil.36)
Martial at his Manchester United unveiling. Picture courtesy of  @ManUtd
 

Nicolas Otamendi (Valencia kwenda Manchester City, Pauni Mil.33)
Otamendi has given City another option in central defence
 

Christian Benteke (Aston Villa kwenda Liverpool, Pauni Mil.32.5)
Benteke opened his Liverpool account against Bournemouth
 

Roberto Firmino (Hoffenheim kwenda Liverpool, Pauni Mil.29)
Brazili international Roberto Firmino cost Liverpool 
    <div class=
Blog inayotoa habari kila siku Karibu Ungana na Mwandishi wetu kila siku hapa Jafar Nzowa

0 maoni:

Chapisha Maoni

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. JAFAR NZOWA JR - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger