Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » , » KUBENEA KUFICHUA RICHMOND

KUBENEA KUFICHUA RICHMOND

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiDCtJLqGMngNtClOvOF5oWrHN_FrHY6VITESHQK3hhFJ_rQ1LO9C3kM7iXF7oAtRaQwyR5g7GBoFM9L3OgrI0wDvZlFgvTarXr2c-AxV3CwI-g8QKrD1aRf12WukGgh0CjY4TTCDABTbfZ/s1600/kubenea-mpoki.jpg
Mgombea ubunge jimbo la Ubungo Saed Kubenea

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Hali Halisi Publishers Ltd (HHPL) wachapishaji gazeti la MwanaHALISI Saed Kubenea ameahidi kulivalia njuga sakata la Richmond linalodaiwa kuwa ni ajenda ya Dr. Slaa kumchfua mgombea urais wa UKAWA Edward Lowassa.
Aidha, kwa mara pili  Dk. Slaa ambaye ni msomi wa thiolojia, amemtuhumu Mgombea Urais anayewakilisha UKAWA, Edward Lowassa kwamba ni fisadi na hafai kuchaguliwa na wananchi huku akimtaja mgombea waCCM Dk.John Magufuli kuwa nidye anayestahili kuwa rais wa Tanzania kwa awamu ya tano.
Kwa mujibu  wa Kubenea amesema ameshindwa kuvumilia taarifa anazozitoa Dk. Slaa kuhusu sakata hilo na sasa ataeleza anachokijua kuhusu sakata la Richmond na msukumo uliopo hata Dk. Slaa kujitokeza wakati huu wa kampeni za uchaguzi katika mlengo wa kumshambulia na kumchafua Lowassa.
Ameongeza kuwa anatarajia  kuongea na Waandishi wa Habari jijini Dar es salaam kueleza ukweli uliokamilika kuhusu Dk. Slaa na mkewe Josephine Mushumbuzi na sababu ya yeye kususia chama
Blog inayotoa habari kila siku Karibu Ungana na Mwandishi wetu kila siku hapa Jafar Nzowa

0 maoni:

Chapisha Maoni

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. JAFAR NZOWA JR - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger