Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » , » MKE WA DR SLAA AKANUSHA KUMFUNGIA MUMEWE

MKE WA DR SLAA AKANUSHA KUMFUNGIA MUMEWE

Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), Wilbroad Slaa akiwa na mke wake Josephine
Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, Wilbroad Slaa akiwa na mke wake Josephine Mushumbusi
Mke wa Dk. Slaa, Josephine Mushumbusi, amekanusha tuhuma zilizozagaa kuwa yeye ndiye aliyemshauri kiongozi huyo wa Chadema, kujiuzulu na kumzuia kushiriki vikao muhimu vya chama jambo ambalo amedai kuwa halina ukweli wowote.
Akijitetea amenukuliwa akisema kuwa “Mwenyewe najiuliza nini kinaendelea, siwezi kufanya kitu kama hicho. Nyumba yangu ina milango miwili, nawezaje kumfungia mtu, tena mwanamume, hata watoto siwezi kuwafungia,”.
Amedai kuwa kuna mambo mengine mwanamke huwezi kuyafanya kwa mwanamume na kuongeza kuwa mwanaume ni mwanaume tu.
Blog inayotoa habari kila siku Karibu Ungana na Mwandishi wetu kila siku hapa Jafar Nzowa

0 maoni:

Chapisha Maoni

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. JAFAR NZOWA JR - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger