Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » , » 50 CENT ANAPANGISHA NYUMBA YAKE

50 CENT ANAPANGISHA NYUMBA YAKE

Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, 50 Cent akiwa kwenye pozi
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, 50 Cent akiwa kwenye pozi
Mwanamuziki nchini Tanzania, amejikuta akizua gumzo kwa mara nyingine ikiwa ni siku chache zimepita tangu atangaze kufilisika na kudai kutafuta mpangaji wa nyumba yake iliyopo Connectinut nchini Marekani.
Taarifa hizi zimesambaa baada ya kukamilisha mkutano wake na wanasheria, ambapo mwanasheria wake Stephen Savva, amedai kuwa hadi sasa hawajapata mpangaji wa nyumba ya mwanamuziki huyo ambayo aliinunua mwaka 2003.
GHETTO-LA-50
Amedai kuwa wanafanya mpango wa kupangisha nusu ya nyumba hio yenye vyumba 21, majiko 9 na casino lakini mpaka sasa mwanamuziki huyo hajabahatika kupata mpangaji.
Blog inayotoa habari kila siku Karibu Ungana na Mwandishi wetu kila siku hapa Jafar Nzowa

0 maoni:

Chapisha Maoni

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. JAFAR NZOWA JR - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger