Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » , » FIFA YAWAPELEKA UNITED UBELGIJI

FIFA YAWAPELEKA UNITED UBELGIJI


UEFA Wamaliza Ubishi, Man Utd Yapelekwa UbelgijiMuda mchache uliopita shirikisho la soka barani Ulaya UEFA limekamilisha upangani wa michezo ya mtoano ya ligi ya mabingwa barani humo.
Man Utd ambayo ni moja ya klabu zilizopo kwenye mchakato huo imeangukia mikononi mwa FC Club Bruge ya nchini Ubelgiji.
Man Utd wataanzia nyumbani Old Trafford na kisha watamalizia mchezo wa mkondo wa pili ugenini
Michezo mingine iliyopangwa katika zoezi hilo.
Lazio v Bayer Leverkusen
Manchester United v Club Brugge
Sporing v CSKA Moscow
Rapid Vienna v Shakhtar Donetsk
Valencia v Monaco
Astana v Apoel
Skenderbeu v Dinamo Zagreb
Basel v Maccabi Tel Aviv
BATE v Partizan
Celtic v Malmo
Michezo ya hatua ya mtoano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya imepangwa kuchezwa August 18/19 na ile ya mkondo wa pili itachezwa August 25/26.
Blog inayotoa habari kila siku Karibu Ungana na Mwandishi wetu kila siku hapa Jafar Nzowa

0 maoni:

Chapisha Maoni

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. JAFAR NZOWA JR - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger