Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » , » FIFA KUPANGA RATIBA LEO, MAN UNITED KUKUTANA NA NANI?

FIFA KUPANGA RATIBA LEO, MAN UNITED KUKUTANA NA NANI?




Shirikisho la soka barani Ulaya UEFA, hii leo linatarajia kupanga ratiba ya michezo ya ligi ya mabingwa barani Ulaya hatua ya mtoano baada ya mapambano wa hatua iliyopita kukamilishwa usiku wa kuamkia jana.
Maafisa wa UEFA kwa kushirikiana na maafisa wa klabu zilizoingia kwenye mchakato wa kuwania nafasi ya kucheza hatua ya makundi ya michuano hiyo msimu wa 2015-16, Watakutna mjini Nyon nchini Usiwz kukamilisha zoezi hilo.
Klabu 20 zitahusishwa katika mchakato huo ambao utakamilishwa kwa michezo 10 tofauti itakayotoa majibu ya kupatikana kwa klabu 10 zitakazotinga kwenye hatua ya makundi.
Hafla ya upangaji wa ratiba ya michezo hiyo ya mtoano, inatarajia kufanyika mishale ya saa sita mchana kwa saa za nchini Uswiz.
Timu zilizosonga mbele kupitia michezo ya mtoano iliyochezwa tangu mwezi Juni ni;
FC Basel 1893 (SUI) 84.875
Celtic FC (SCO) 39.080
APOEL FC (CYP) 35.460
FC BATE Borisov (BLR) 35.150
GNK Dinamo Zagreb (CRO) 24.700
Maccabi Tel-Aviv FC (ISR) 18.200
FK Partizan (SRB) 14.775
Malmö FF (SWE) 12.545
KF Skënderbeu (ALB) 5.575
FC Astana (KAZ) 3.825

Timu zilizoingia katika hatua ya mtoani kwa kutumia vigezo vya kumaliza kwenye nafasi nzuri kwenye msimamo wa ligi ya nchi husika ni;
Manchester United FC (ENG) 103.078
Valencia CF (ESP) 99.999
Bayer 04 Leverkusen (GER) 87.883
FC Shakhtar Donetsk (UKR) 86.033
Sporting Clube de Portugal (POR) 56.276
PFC CSKA Moskva (RUS) 55.599
SS Lazio (ITA) 49.102
Club Brugge KV (BEL) 41.440
AS Monaco FC (FRA) 31.483
SK Rapid Wien (AUT) 15.635
Blog inayotoa habari kila siku Karibu Ungana na Mwandishi wetu kila siku hapa Jafar Nzowa

0 maoni:

Chapisha Maoni

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. JAFAR NZOWA JR - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger