Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » BENTEKE ATUA KWA MAJOGOO

BENTEKE ATUA KWA MAJOGOO

Klabu Ya Liverpool imetangaza rasmi usajili wa mshambuliaji Christian Benteke kutoka Aston Villa.
 
Benteke mwenye Umri wa miaka 24 amesajiliwa na Liverpool Kwa dau la £32.5m.
Katika misimu mitatu iliyopita Benteke kafunga magoli 42 katika mechi 88 kwenye ligi juu Ya Uingereza.  Pia amefunga magoli 7 katika mechi 24 za timu Ya taifa Ya Ubelgiji.
“Nina furaha kubwa Kuwa hapa na ningependa kuwashukuru wamiliki wa Klabu pamoja na kocha Kwa juhudi zao za kuni leta hapa,” alisema Benteke 
Blog inayotoa habari kila siku Karibu Ungana na Mwandishi wetu kila siku hapa Jafar Nzowa

0 maoni:

Chapisha Maoni

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. JAFAR NZOWA JR - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger