Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » , » BAADHI YA MASTAA WA BONGO NA MAMA ZAO

BAADHI YA MASTAA WA BONGO NA MAMA ZAO

Diamond na mama yake


Hemed na mama yake

Linah akiwa na baba na mama yake

Lulu na mama yake

Wema na mama yake

Monalisa na mama yake

Shilole na mama yake

Jokate na mama yake
 
Naamini kila mtu anawapenda wazazi wake, kwa sababu ndio wametuleta duniani na pengine wamechangia mafanikio yetu. Leo Bongoclan tumeamua kukusanyia picha za baadhi ya wasanii wa hapa kwetu Bongo wakiwa na wazazi wao.
Picha hizi ni za wasanii saba tofauti wengine wakiwa wa muziki na wengine wamaigizo, tulichogundua ni kua wengi wa wasanii hawa hawajapiga picha na baba zao, ni mmoja tu kati ya nane ndo kapiga picha na Baba yake. Unaweza tazama picha hizi hapa chini.
Blog inayotoa habari kila siku Karibu Ungana na Mwandishi wetu kila siku hapa Jafar Nzowa

0 maoni:

Chapisha Maoni

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. JAFAR NZOWA JR - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger