Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » , » MAGUFULI NA MAFURIKO CHATO PAMOJA NA WASANII KIBAO

MAGUFULI NA MAFURIKO CHATO PAMOJA NA WASANII KIBAO

Kundi la Orijino Komedi likikamua jukwaani.

 Maelfu wa wakazi wa Chato wakisikiliza kwa makini sera za Mgombea Urais kupitia CCM, John Magufuli.
 
Wakazi wa Chato wakionesha mabango yao mbalimbali.

Nyomi ya wanachama wa CCM kama inavyoonekana leo hii huko Chato.

Msanii wa Bongo Fleva, Madee akitoa burudani kwa wakazi wa Chato.

Kundi la Yamoto Band wakikamua jukwaani, katikati ni densa wa Yamoto, Chiba.

Staa wa Hip Hop, Fid Q akitoa burudani.

Magufuli akiwafunika Chegge na Temba.

Kundi la Orijino Komedi likikamua jukwaani.

Mgombea Urais kupitia CCM, John Magufuli akiingia Viwanja vya Chato
Mgombea Urais kupitia CCM, John Mafuguli leo alifanya mkutano mkubwa wa kuomba kura katika Viwanja vya Chato ambapo ndipo nyumbani kwake. Mkutano huo ulihudhuriwa na umati mkubwa wa watu.
Katika mkutano huo wasanii mbalimbali walitoa buurudani ambapo walipopanda wasanii wa kundi la TMK Wanaume familiy Chegge na Temba Magufuli alishindwa kujizuia na kuanza kusakata nao jukwaani na kuwafunika wasanii hao hali iliyozua shangwe kubwa kwenye viwanja hivyo.
Sambamba na burudani hiyo Magufuli alimwaga sera na kutoa ufafanuzi wa jinsi atakavyoikwamua Tanzania kutoka katika lindi la umasikini mijini na vijijni.
Blog inayotoa habari kila siku Karibu Ungana na Mwandishi wetu kila siku hapa Jafar Nzowa

0 maoni:

Chapisha Maoni

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. JAFAR NZOWA JR - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger