Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » , » BIRDMAN ALIHUSIKA SHAMBULIZI LA KUMUUA LIL WAYNE

BIRDMAN ALIHUSIKA SHAMBULIZI LA KUMUUA LIL WAYNE





Jimmy Winfrey meneja wa zamani wa rapper Young Thug, na mshitakiwa namba moja anayekabiliwa na kesi ya kumshambulia Lil Wayne na msafara wake mwezi April, amesema Bosi wa Cash Money Birdman nae alihusika katika upangaji wa tukio hilo.
Mtandao wa TMZ ambao umedai kuona nyaraka za maelezo aliyoyatoa Jimmy, yakieleza kuwa mlengwa mwingine wa mashambulizi hayo alikuwa ni muhasibu wa kampuni ya Cash money.
Taarifa na ‘data’ za simu zinaonesha kwamba, masaa mawili kabla ya shambulio kutokea mshitakiwa aliwasiliana na namba inayoaminika kuwa ni ya Rapper Birdman.
Birdman na mwanae Lil wayne, wametajwa kuwa kwenye ‘battle’ nzito ya kudaiana dolla za kimarekani $51 million.
Blog inayotoa habari kila siku Karibu Ungana na Mwandishi wetu kila siku hapa Jafar Nzowa

0 maoni:

Chapisha Maoni

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. JAFAR NZOWA JR - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger