Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » WESTHAM YASONGA MBELE EUROPA LEAGUE

WESTHAM YASONGA MBELE EUROPA LEAGUE

 Image result for WESTHAM
Ligi ya Europa iliendelea hapo jana ambapo West Ham ya England imesonga mbele katika hatua ya mzunguko wa tatu baada ya kuiondoa Birkirkara ya Malta kwa penalt 5-3.
Matokeo mengine haya hapa chini

Newtown AFC 1 - 3 FC Copenhgn

Astra Giurgiu 0 - 0 Inverness CT

Aberdeen 2 - 2 HNK Rijeka

Birkirkara FC 1 - 0 West Ham

West Ham United imeshinda 5-3 kwa penalti

Linfield 1 - 3Spartak Trnava

Shirak FC 0 - 2 AIK

Alashkert FC 2 - 1 Kairat Almaty

Debrecen 9 - 2 Skonto Riga

Dinamo Minsk 4 - 0 Cherno More Varna

FK Qabala 2 - 0 FK Cukaricki

FK Spartaks Jurmala 1 - 1 FK Vojvodina

Inter Baku 2 - 2 FH Hafnarfjördur

 

BBC

Blog inayotoa habari kila siku Karibu Ungana na Mwandishi wetu kila siku hapa Jafar Nzowa

0 maoni:

Chapisha Maoni

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. JAFAR NZOWA JR - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger