Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » DIAMOND NA WAKALI KIBAO KUWASHA MOTO NAIROBI

DIAMOND NA WAKALI KIBAO KUWASHA MOTO NAIROBI


Baada ya kuondoka na tuzo moja kama ‘Best live act’ kupitia tuzo za MTVMAMA2015, Bongo flava Icon kwa sasa Diamond Plutnums anatarajiwa kudondoka jijini Nairobi weekend ijayo kwenye bonge moja la tamasha kwa ajili ya kushukuru mashabiki kwa sapoti waliyotoa kwa MTV.
After party hiyo iliyoandaliwa na kituo cha Televisheni cha MTV base, itawahusisha pia wakali kama Rabbit, Kansoul, Mejjagenge, Madtraxx na Kidkora.
Blog inayotoa habari kila siku Karibu Ungana na Mwandishi wetu kila siku hapa Jafar Nzowa

0 maoni:

Chapisha Maoni

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. JAFAR NZOWA JR - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger