
Kocha
wa Yanga Hans Van Der Plujim akiongea na waandishi wa habari (hawapo
pichani) kuhsu michuano ya CECAFA Kagame Cup pembeni kushoto ni kocha wa
Gor Mahia, Nutall
Kocha wa Yanga Hans Van Der Plujim na mweznake wa Gor mahia ya Kenya
wamendela kutambiana huku kila mmoja akijinadi kuwa na kikosi bora
kitakacho sumbua katika michuano ya CECAFA kagame Cup.anga ambayo inatarajiwa kushuka dimabni kesho kukipiga na Gor mahia katika michuano ya Kagame kocha huyo ameonekena kujiamini zaidi na kwenda mabali kufikia hatua ya kusema timu yake ni moja ya timu bora.
Plujim amesema kuwa kutokana na uzoefu wake waku fundisha soka kwa miaka mingi nchi za afrika amewasoma Gor mahia vizuri na tayari amewandaa wachezaji wake katika hali ya kushinda na si kukubali kushinda.
“Gor mahia ni timu nzuri na hakuna timu ndogo katika michuano hii ya ya kagame hivyo tunachukulia kila mechi ni fainali,”amesema Plujim
Nutall amesema kuwa Yanga ni timu bora lakini aijalishi kwani watatumia makosa madogo madogo ili kuwathibiti wapinzani wao.
0 maoni:
Chapisha Maoni