Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

LEO NDIO LEO MAPINDUZI CUP

SIMBA VS AZ...

ANGALIA PICHA ZA MAPOKEZI YA DIAMOND PLATNUMZ JANA

Photos: Mapokezi ya Diamond Platnumz na Tuzo ...

MAGUFULI NA MAFURIKO CHATO PAMOJA NA WASANII KIBAO

Kundi la Orijino Komedi likikamua jukwaani.  Maelfu wa wakazi wa Chato wakisikiliza kwa makini sera za Mgombea Urais kupitia CCM, John Magufuli.   Wakazi wa Chato wakionesha mabango yao mbalimbali. Nyomi ya wanachama wa CCM kama inavyoonekana leo hii huko Chato. Msanii wa Bongo Fleva, Madee akitoa burudani kwa wakazi wa Chato. Kundi la Yamoto Band wakikamua jukwaani, katikati ni densa wa Yamoto, Chiba. Staa wa Hip Hop, Fid Q akitoa burudani. Magufuli akiwafunika Chegge na Temba. Kundi la Orijino Komedi likikamua jukwaani. Mgombea Urais kupitia CCM, John Magufuli akiingia Viwanja vya Chato Mgombea Urais kupitia CCM, John Mafuguli...

Mabango 5 Bora Katika Siasa Leo.

Mabango 5 Bora Katika Siasa Leo. ...

WANA CCM WAHAMIA ACT

Zaidi ya wanachama 100 kutoka CCM, Kata ya Chihanga, Manispaa ya Dodoma wamejiunga na ACT- Wazalendo. Akizungumza kwa niaba ya wanachama hao, Ally Amanzi aliyekuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa CCM katika kata hiyo, alisema jana kuwa wamelazimika kuhama kutokana na kufilisika kisiasa. Amanzi alisema viongozi wa vyama hawaonyeshi kama wanaweza kuleta mabadiliko, badala yake wanafikiria watakavyojilimbikizia mali. “ACT–Wazalendo tunaimani nayo sisi wakazi wa Kata ya Chihanga, lazima tutapata mabadiliko ya kweli tofauti na vyama vingine vinavyojitokeza kuomba viongozi wao tuwachague,” alisema Amanzi.    Alisema...

Hiki ndio kikosi cha Simba msimu 2015/2016

Klabu ya Simba imekamilisha usajili ramsi na hiki ndio kikosi chake kitakachoshiriki katika msimu mpya wa ligi kuu ya Vodacom 2015/2016. Hii ndio orodha ya wachezaji wote wa Simba waliosajiliwa msimu wa 2015/2016 Vincent De Paul Angban Peter Manyika Denis Deonis Mohamed Hussein Hassan Ramadhani Emery Nimubona Samih Ali Nuhu Hassan Isihaka Murushid Juuko Mohamed Faki Saidi Issa Abdi Banda Jonas Mkude Justice Majabvi Awadh Juma Saidi Hamisi Ndemla Mwinyi Kazimoto Peter Mwalyanzi Hajibu Ibrahim Issa Abdallah Daniel Lyanga Hamisi Kizza Pape Abdoulaye Ndaw Mussa...

TIMU ZA VPL NA JEZI ZAO MSIMU HUU

Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, ambayo ni mdhamini mkuu wa Ligi Kuu ya mpira wa miguu Tanzania bara leo imekabbidhi vifaa kwa timu zinazoshiriki ligi hiyo yenye thamani ya shilingi milioni 490,00,000. Akikabidhi vifaa hivyo leo jijini Dar es salaam, Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Kelvin Twisa alsiema kuwa kwa mara nyingine tena katika kuhakikisha ligi ya soka nchini inaenda vizuri Vodacom inakidhi vifaa mbalimbali vy a ligi ambavyo ni jezi za kawaida, jezi za mechi, viatu na vifaa vingine vinayohitajika. “Tunajisikia furaha kukabidhi vifaa hivi siku ya leo tukiwaa tunatekeleza matakwa ya mkataba...
Pages (35)1234 »
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. JAFAR NZOWA JR - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger