SIMBA VS AZ...
ANGALIA PICHA ZA MAPOKEZI YA DIAMOND PLATNUMZ JANA
MAGUFULI NA MAFURIKO CHATO PAMOJA NA WASANII KIBAO
Kundi la Orijino Komedi likikamua jukwaani.
Maelfu wa wakazi wa Chato wakisikiliza kwa makini sera za Mgombea Urais kupitia CCM, John Magufuli.
Wakazi wa Chato wakionesha mabango yao mbalimbali.
Nyomi ya wanachama wa CCM kama inavyoonekana leo hii huko Chato.
Msanii wa Bongo Fleva, Madee akitoa burudani kwa wakazi wa Chato.
Kundi la Yamoto Band wakikamua jukwaani, katikati ni densa wa Yamoto, Chiba.
Staa wa Hip Hop, Fid Q akitoa burudani.
Magufuli akiwafunika Chegge na Temba.
Kundi la Orijino Komedi likikamua jukwaani.
Mgombea Urais kupitia CCM, John Magufuli akiingia Viwanja vya Chato
Mgombea Urais kupitia CCM, John Mafuguli...
WANA CCM WAHAMIA ACT

Zaidi ya wanachama 100 kutoka CCM, Kata ya Chihanga, Manispaa ya Dodoma wamejiunga na ACT- Wazalendo.
Akizungumza
kwa niaba ya wanachama hao, Ally Amanzi aliyekuwa Mwenyekiti wa Jumuiya
ya Wazazi wa CCM katika kata hiyo, alisema jana kuwa wamelazimika
kuhama kutokana na kufilisika kisiasa.
Amanzi
alisema viongozi wa vyama hawaonyeshi kama wanaweza kuleta mabadiliko,
badala yake wanafikiria watakavyojilimbikizia mali.
“ACT–Wazalendo
tunaimani nayo sisi wakazi wa Kata ya Chihanga, lazima tutapata
mabadiliko ya kweli tofauti na vyama vingine vinavyojitokeza kuomba
viongozi wao tuwachague,” alisema Amanzi.
Alisema...
Hiki ndio kikosi cha Simba msimu 2015/2016

Klabu ya Simba imekamilisha usajili ramsi na
hiki ndio kikosi chake kitakachoshiriki katika msimu mpya wa ligi kuu ya
Vodacom 2015/2016.
Hii ndio orodha ya wachezaji wote wa Simba waliosajiliwa msimu wa 2015/2016
Vincent De Paul Angban
Peter Manyika
Denis Deonis
Mohamed Hussein
Hassan Ramadhani
Emery Nimubona
Samih Ali Nuhu
Hassan Isihaka
Murushid Juuko
Mohamed Faki
Saidi Issa
Abdi Banda
Jonas Mkude
Justice Majabvi
Awadh Juma
Saidi Hamisi Ndemla
Mwinyi Kazimoto
Peter Mwalyanzi
Hajibu Ibrahim
Issa Abdallah
Daniel Lyanga
Hamisi Kizza
Pape Abdoulaye Ndaw
Mussa...
TIMU ZA VPL NA JEZI ZAO MSIMU HUU

Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom
Tanzania, ambayo ni mdhamini mkuu wa Ligi Kuu ya mpira wa miguu Tanzania
bara leo imekabbidhi vifaa kwa timu zinazoshiriki ligi hiyo yenye
thamani ya shilingi milioni 490,00,000.
Akikabidhi vifaa hivyo leo jijini Dar es
salaam, Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Kelvin
Twisa alsiema kuwa kwa mara nyingine tena katika kuhakikisha ligi ya
soka nchini inaenda vizuri Vodacom inakidhi vifaa mbalimbali vy a ligi
ambavyo ni jezi za kawaida, jezi za mechi, viatu na vifaa vingine
vinayohitajika.
“Tunajisikia furaha kukabidhi vifaa hivi
siku ya leo tukiwaa tunatekeleza matakwa ya mkataba...